Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Halmashauri zote nchini zatakiwa kusimamia ukusanyaji wa mapato

Imewekwa tar.: September 27th, 2018

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim M. Majaliwa (MB) ametoa rai kwa Madiwani, Wakurugenzi na Makatibu Tawala wa Mikoa  kubadilisha mtazamo  katika suala zima  la usimamizi, ukusanyaji na  utumiaji  wa fedha  zinazokusanywa kwenye Halmashauri zote nchini

Akifungua Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) uliofanyika leo katika ukumbi wa Jakaya Mrisho Kikwete Jijini Dodoma. Mhe. Majaliwa amesema ustawi wa jamii unategemea uwezo wa mapato yake na matumizi yenye tija kwa fedha zinazokusanywa

Mhe. Majaliwa amefafanua kuwa lengo la Serikali ni kuhakikisha Halmashauri zinakuwa na uwezo wa kujitegemea kimapato kwa zaidi ya asilimia 80 ifikapo mwaka 2025 ili kutimiza lengo la Serikali katika Dira ya Maendeleo ya 2025.

Amesema kuwa Serikali ya awamu ya Tano imekuwa ikichukua  hatua mbalimbali  ili kuhakikisha dira ya maendeleo ya mwaka 2025 kwa kuanzisha  utaratibu wa kugharamia  miradi  ya kimkakati  yenye lengo  la kuziongezea Halmashauri mapato  ya uhakika  na kupunguza utegemezi  wa ruzuku  ya Serikali.

Mhe. Majaliwa amesema kuwa  hadi sasa Serikali  imeidhinisha shilingi bilioni 131.5 kutekeleza miradi ya  ipatayo 22 katika Halmashauri  17 zilizokidhi vigezo kwenye Mikoa 10 na mpaka sasa kiasi cha shilingi bilioni 16.4 zimepelekwa kwenye Halmasahauri  hizo kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa  miradi ya kimkakati.

Amaesema kuwa  uchambuzi wa miradi  mingine ya kimaendeleo  unaendelea na Halmashauri  zitakazokidhi vigezo zitapata fedha kwa  ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo na amezitaka Halmashauri zote nchini  kutumia fedha  hizo kwa ajili ya  malengo yaliyokusudiwa.

“ Serikali  haitakuwa  na utaratibu wa kutoa fedha bila kufahamu kwa kina fedha hizo zinakwenda kufanya nini na zinaleta mabadiliko gani kwa kuwa nimesikia kwamba katika baadhi ya Halmashauri fedha zilizokwishatolewa bado hazijaanza kutumika kikamilifu, nawaagiza Waheshimiwa Madiwani kusimamia matumizi ya fedha hizo ili Halmashauri  zipate miradi yenye ubora unaotakiwa na inayokamilika kwa wakati” Anafafanua Majaliwa.

Mhe. Majaliwa amesema Serikali imeongeza ukusanyaji wa mapato  katika Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuhakikisha Halmashauri zote 185 zinatumia Mfumo wa ukusanyaji wa mapato wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na kufanya ongezeko la mapato kutoka shilingi bilioni 379 kwa mwaka 2014/2015 hadi kufikia  shilingi bilioni 553.39 kwa mwaka wa fedha 2017/2018 .

Amewaonya Viongozi wa Halmashauri wanaolalamikia kutokuendelea kulalamika  kuhusu baadhi ya vyanzo  vya mapato  kuchukuliwa na Serikli  kuu bali  waongeze  bidii  na ubunifu  katika kutafuta  vyanzo vipya vya  mapato ili Mamlaka za Serikali za Mitaa  ziweze kujitegemea.

“Fanyeni kazi  ionekane, tusione Mamlaka  za Serikali za Mitaa ambazo kweli zinatoa huduma, tuone vyumba vya madarasa vinaongezeka, watoto hawakai chini, Zahanati zinazopendeza  hapo tunaweza  kusema sasa  Halmashauri zimekomaa” Amefafanua Mhe. Majaliwa

 Wakati huo huo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Mhe. Selemani Jafo amewaagiza Wakurungenzi wa Halmashauri kuacha kufanyakazi kwa mazoea bali wafanye kazi kwa bidii kwa kutumia weledi ili  kuleta mabadiliko katika utendaji kazi katika Halmashauri

Aidha Mhe. Jafo amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanatenga fedha kwa ajili ya kuwakopesha wanawake, vijana  na watu wenye ulemavu ili kuwawezesha kiuchumi  na kupunguza umaskini  nchini.





Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 2 May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Mhe. Katimba awapokea Wabunge wa Zambia waliokuja kujifunza kuhusu Usimamizi na Uendeshaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara

    May 28, 2025
  • Mtwale Atoa Mwongozo kwa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa

    May 27, 2025
  • Nipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi kufikia malengo ya Mhe. Rais – Prof. Tumaini Nagu

    May 26, 2025
  • TARURA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.