• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Halmashauri Mwanga Watakiwa Kukarabati jengo la Wagonjwa wa Nje

Imewekwa tar.: January 17th, 2022

Na Fred Kibano, Mwanga Kilimanjaro

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Festo Dugange ameagiza kufanyika ukarabati wa jengo la wagonjwa wa nje katika Kituo cha afya Kisangara wilayani Mwanga kabla ya Aprili, 30 mwaka huu.

Kauli hiyo ya Dkt. Dugange ameitoa hivi leo baada ya kukagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro ambapo amesema miundombinu hiyo haivutii wagonjwa katika kutoa huduma bora lakini pia wanakusanya mapato yanayozidi shilingi laki nane kwa mwezi kutokana na malipo ya wagonjwa wanaokwenda kupata matibabu katika kituo hicho

“sijaridhishwa na uchakavu mkubwa wa majengo haya ya OPD (wagonjwa wa nje) na sisi kama watawala tupo hapa na gharama za utengenezaji haizidi shilingi milioni moja na nusu kwa jengo la OPD peke yake, sasa sio busara na wala haipendezi kwa wananchi kupata huduma katika kituo hiki chakavu wakati mnakusanya shilingi laki nane kwa mwezi” alisema Dkt. Dugange.

Aidha, amewataka Viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuchukua hatua kwa watumishi ambao wamekuwa wanalalamikiwa na wagonjwa wakati wakiwapatia huduma hali inayopelekea kupungua kwa hadhi ya utoaji wa huduma bora kwa jamii kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Dkt. Dugange amewaasa Viongozi wa kada ya afya na nje ya kada hiyo kusimamia nidhamu ya kazi kwani baadhi ya watumishi wachache wamekuwa na lugha isiyo na staha kwa wagonjwa na hivyo kuwakatisha tamaa kupata huduma kwenye vituo ambavyo watu hao hufanyia kazi.

“baadhi ya maeneo kumekuwa na malalamiko ya lugha zisizofaa kwa baadhi ya wahudumu wa afya wanaofanya kazi bila kufuata maadili, miongozo, taratibu na kanuni za utoaji wa huduma za afya, sasa tuwe na mfumo wa kufuatilia zahanati, kituo cha afya au hospitali inayolalamikiwa na wananchi”

Amesema ni muhimu kujua jambo linalolalamikiwa, sababu, watumishi wanaotajwa ili wawajibishe kwa mujibu wa sheria za kazi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Bi. Mwajuma Nasombe amesema wameyapokea maelekezo ya Serikali na kwamba watayafanyia kazi kwa wakati kwa kuondoa kasoro zote zilizojitokeza.

Miradi mingine aliyotembelea Dkt. Dugange ni pamoja na barabara ya Cleopa David Msuya chini ya TARURA na shule ya sekondari Mandaka zote za wilayani Mwanga.


Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.