• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
    • Miongozo ya Kilimo
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)

Busega Wapongeza Ujenzi Wa Miundombinu Ya Kituo Cha Afya Nasa

Imewekwa tar.: June 25th, 2018

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu wameishukuru Serikali kupitia Shirika lisilo la Kiserikali la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ongezeko la watu Duniani UNFPA na KOIKA kwa kujenga jengo la Upasuaji, Wodi ya Wazazi, Nyumba ya Mtumishi na kisima kirefu cha maji katika Kituo cha Afya cha Nasa.

Pongezi hizo wamezitoa hivi karibuni wakati wa ziara ya ufuatiliaji wa ujenzi wa majengo ya Wodi za Wazazi, Jengo la Upasuaji na nyumba ya mtumishi iliyojengwa katika Kituo cha Afya cha Nasa kilichopo katika Halmashauri ya Busenga Mkoani Simiyu chini ya ufadhili wa Shirika lisilo la Kiserikali la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ongezeko la Watu Duniani UNFPA na KOIKA.

Wananchi hao wamesema kuwa huduma hiyo itawasaidia akinamama wajawazito ambao walikuwa wakitembea umbali wa kilometa kilometa 40 kupata huduma za afya jambo ambalo lilikuwa likipelekea wengi kufariki kabla ya kupatiwaa huduma ya afya.

Wameipongeza Serikali kwa kusogeza huduma za Upasuaji kwenye maeneo ya karibu ambapo wakinamama wajawazito ambapo kwa sasa watakuwa wakitembea kwa umbali wa kilometa moja kupata huduma hizo za afya na kupunguza vifo vya mama wajawazito na watoto wachanga.

Akifafanua zaidi Bw. James Engalika amesema Serikali ya awamu ya Tano inajali wananchi kwa kuleta maendeleo kuanzia ngazi ya nchini hasa kwa watu maskini ambao walikuwa wakikosa huduma za afya katika maeneo ya karibu lakini kwa sasa miundombinu ya afya imeweza kuboreshwa kuanzia ngazi ya Kata, Wilaya, Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Bw. Engalika ametoa wito kwa jamii hasa maeneo ambapo ujenzi wa vituo vya afya unaendelea kujengwa kusimamia na kujitoa katika kuchangia nguvukazi ili vituo hivyo viweze kukamilika kwa wakati na kuweza kutoa huduma za afya kwa jamii kwa kuwa maendeleo hayaletwi na Serikali pekee bali kunahitajika ushirikiano kutoka kwa wananchi.

“Ili kuleta maendeleo nchini, Wananchi wanatakiwa kufanya kazi kwa kujitolea kwa asilimia 90 lengo likiwa ni kupunguza changamoto za utoaji huduma za afya kuanzia ngazi za nchini hasa kwa wananchi maskini. “ Anasema Bw. Engalika

Amesema kuwa ushirikiano wa pamoja na mshikamano katika kujitolea huleta maendeleo kwa jamii na kuisaidia Serikali kutoa huduma bora za afya kwa jamii, hivyo kutokana na mshikamano uliokuwepo Kituo cha Afya cha Nasa kimeweza kukamilisha ujenzi wa jengo ya Upasuaji, Wodi ya Wazazi na nyumba ya Mtumishi kwawakati.

Naye Bi Eliza John mwananchi kutoka kijiji cha Nyanzima Wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu anasema kuwa wakinamama wajawazito walikuwa wakiteseka sana wakati wa kujifunga kutokana na kutembea muda mrefu kufuata huduma za afya jambo ambalo lilipelekea kupata madhara makubwa wakati wa kujifungua akini kwa sasa wataweza kupata huduma bora karibu na maeneo yao.

Wakati huohuo Bw. Faraji Maiga Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Nasa amesema kuwa kituo hicho kilipokea fedha kutoka UNFPA shilingi Milioni 200 kwa ajili ya Ujenzi wa Nyumba ya Mtumishi, Wodi ya Wazazi na Chumba cha Upasuaji na serikali iliweza kutoa shilingi Milioni 250 kwa ajili ya Ujenzi wa Chumba cha kuifadhia maiti na maabara.

Amesema kabla ya ujenzi wananchi walikuwa wakipata shida ya matibabu lakini kwa sasa huduma za afya zitapatikana kwa kiwango kikubwa tofauti na kipindi cha nyuma ambapo wananchi walikuwa wakitembea umbali mrefu kutafuta huduma kwa kuwa hakukuwa na hospitali, hivyo wananchi wengi wanategemea huduma kutoka katika kituo cha afya cha Nasa.

Aidha amewashukuru wananchi wa Halmashauri ya Wilaya Busega kwa moyo wakujitoa na kuweza kukamilisha ujenzi wa Kituo cha afya cha Nasa kwa wakati na aliwaasa wananchi wote ambao hawashiriki katika shughuli za maendeleo kushiriki kikamilifu kwa kuwa Serikali inatekeleza miradi kwa manufaa ya jamii.

Anaandika Angela Msimbira OR-TAMISEMI 

Matangazo

  • Orodha ya waliopata vibali vya Uhamisho Septemba - Disemba 2022 (OR - TAMISEMI) January 21, 2023
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Waliorudia Mtihani January 15, 2023
  • Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na Kingereza January 14, 2023
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Orodha ya Waliopangwa kwenye Vituo vya Kazi Kada za Afya (Awamu ya Pili) Agosti 2022 August 30, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • LAAC YAPOKEA TAARIFA KUHUSU UTAWALA NA UENDESHAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    March 14, 2023
  • SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MENDELEO, UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO KATIKA HALMASHAURI

    March 13, 2023
  • WAUGUZI NA WAKUNGA WATAKIWA KUSIMAMIA MAADILI YA KAZI

    March 13, 2023
  • ACHENI KUTUMIANA NYARAKA ZA SERIKALI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII NA BARUA PEPE BINAFSI - DKT. MPANGO

    March 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.