Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

BASHUNGWA AWEKA WAZI MIPANGO YA SERIKALI KUTATUA KERO ZA WALIMU NCHINI

Imewekwa tar.: September 8th, 2022

Angela Msimbira OR-TAMISEMI

Waziri Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa abainisha mikakati iliyowekwa na Serikali ya kutatua kumaliza kero na malalamiko ya waalimu nchini.

Bashungwa ameyasema hayo leo 08 Septemba, 2022 Jijini Dodoma wakati akielezea mikakati ya Serikali katika kuwahudumia walimu ikiwa ni moja ya kuboresha sekta ya elimu nchini.

Amesema Serikali itahakikisha Viongozi wote wanaowahudumia walimu, wakiwemo Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na watendaji wao, pamoja na Maafisa wa Tume ya Utumishi wa Walimu wanasikiliza kero za walimu kuhusu madai yao mbalimbali na yanafanyiwa kazi kulingana na Sheria, Kanuni, taratibu na Miongozo iliyopo.

“Watendaji wote wanaowahudumia walimu, wahakikishe wanakuwa karibu na walimu, wanasimamia kupokea kero na malalamiko ya walimu katika maeneo yao ya kazi na kutatua kero hizo kwa wakati” amesema Bashungwa

Aidha, Bashungwa amewaelekeza wakurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha wanandaa Mpango wa Mafunzo kulingana na mahitaji na kuhakikisha walimu walioingizwa kwenye Mpango huo wanaruhusiwa na kulipiwa stahiki za mafunzo punde wanapopata udahili.

Ameendelea kusema kuwa Serikali inaendelea kuboresha Vituo vya Walimu kwa lengo la kuwezesha ufanyikaji wa mafunzo ya walimu kazini ili kuongeza tija katika uboreshaji wa ufundishaji na ujifunzaji shuleni.

Kuhusu upungufu wa nyumba, Bashungwa amesema Serikali imeanza kutenga fedha kwa ajili ya kujenga nyumba za walimu na kipaumbele kitaanza katika maeneo ambayo ni magumu kufikika.

Amesema kwa mwaka 2022/23, Serikali imetenga Shilingi bilioni 55.57 kwa ajili ya kujenga nyuma za walimu ambapo kaya 1,916 zitanufaika huku akisisitiza kuwa utaratibu wa kutenga fedha utakuwa ukifanyika kila mwaka.

Kuhusu upandishwaji vyeo na madaraja kwa walimu, Bashungwa amewataka Tume kuhakikisha wanaziwezesha Kamati za Tume ngazi ya Wilaya, kuwapandisha walimu madaraja na kuwarekebishia vyeo kwa wakati kwa mujibu wa sheria, kanuni, taratibu na miongozo iliyopo.

Pia, amemwelekeza Katibu Mtendaji wa Tume ya Utumishi wa Walimu, kupitia na kuchambua upandaji madaraja wa kila mwalimu, kwa lengo la kubaini stahiki halali ya daraja la mwalimu, na kuchukua hatua stahiki za kuwapandisha madaraja walimu, watakaobainika kucheleweshewa stahiki zao za madaraja.

Vile vile, Bashungwa amewaagiza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, kusimamia mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi za Tume na kuhakikisha linakamilika kwa wakati.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.