Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Ajira Ofisi ya Rais, TAMISEMI Waombaji Wapewa ushauri.

Imewekwa tar.: March 6th, 2019

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa OR-TAMISEMI, inaendelea kupokea maombi ya ajira za walimu zilizotangazwa hivi karibuni huku ikiwataka waombaji wote kuzingatia muda wa mwisho wa kutuma maombi hayo ambao ni tarehe 15 Machi, 2019.

Akizungumza Ofisini kwake kuhusu mwenendo wa waombaji hadi sasa Mkurugenzi wa TEHAMA, OR-TAMISEMI, Bw. Erick Kitali, alisema kwakuwa waombaji wanaomba kupitia mtandao wa (http://ajira.tamisemi.go.tz) ni vema pia wakazingatia tarehe ya mwisho ya maombi.

Kitali pia amewataka waombaji wote kuzingatia ukubwa wa nyaraka za viambatanisho huku akiwataka kuhakikisha zisizidi 1Mb au kuwa ndogo kadri iwezekanavyo, kutokana na walio wengi kupiga simu kwenye dawati la msaada na kutaka kujua ukubwa wa file kwa ajili ya ku-upload na kusema Nyaraka zote zinapaswa ziwe katika “format” ya “pdf” na sio format nyingine.

“Tunawashauri waombaji wote wa nafasi hizi za kazi zilizotangazwa kuzingatia maelekezo ambayo tayari tumeshayatolea muongozo kwa njia ya video (Video manual) na kuiwekwa kwenye Youtube ya Ofisi ya Rais TAMISEMI na kusambazwaa katika njia mbali mbali za mawasiliano, kwa urahisi wakujikumbusha na kufanya maombi ya kazi. Video hiyo ni  fupi ya dakika. 10 tu” alisema Kitali.

Mbali na kutumia muongozo huo kwa njia ya video, amewashauri kutumia Progress bar wakati wa kuweka viambatanisho ili kujua kama unakaribia kumaliza ku-upload nyaraka husika na kutoikatisha njiani, “Ni Muhimu kutumia Progress bar wakati wa uploading” Alisisitiza Kitali.

Aidha, mfumo unatoa fursa ya mwombaji kuangalia hali ya maombi yake na kumwonesha kama amekamilisha mahitaji yote yanayotakiwa ikiwa ni pamoja na nyaraka zote husika. Kila mwombaji anayo Profile yake, kwa msingi huo kila hatua lazima izingatiwe.

Mwisho Kitali amewataka waombaji hao kuendelea kuwasiliana na dawati la msaada  kwa kutumia namba za simu ambazo zimetolewa na kusambaza kwenye tangazo la kazi lakini pia kwenye muongozo wa video. Vile vile, mtandao ambao waombaji wapo ni muhimu kuwa unafanya kazi vyema.

“Sisi tunasema TAMISEMI YA WANANCHI, hivyo tunajukumu la kuwahudumia wananchi wote kwa juhudi na maarifa yote” alihitimisha Mkurugezi huyo.

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa OR-TAMISEMI, imendelea na uboreshaji wa Mifumo mbali mbali ya sekta ya umma katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa, ambapo hatua ya watu kuomba kazi kupitia matandao ni mafanikio makubwa katika ulimwengu wasasa.

Anaandika  Atley Kuni- OR-TAMISEMI

Matangazo

  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert (extension) 1 May 28, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert (extension) May 28, 2025
  • TOR - Msimbazi Watershed Management – Modelling May 26, 2025
  • Monitoring & Support, TOR - DMDP 2 SWM Service Framework & Delivery System in Dar May 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MHE MCHENGERWA AWATAKA MA RC, DC KUONGOZA JOGGING KWENYE MAENEO YAO

    June 14, 2025
  • MANYARA NA MWANZA MABINGWA RIADHA MITA 800 

    June 14, 2025
  • HAKIKISHENI MNAKUWA WABUNIFU  KATIKA KUANDAA MIRADI YA MAENDELEO- ADOLF NDUNGURU 

    June 13, 2025
  • WAVU KWAENDELEA KUNOGA UMITASHUMTA

    June 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.