Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

AGIZO: Halmashauri 31 Zihamishe Ofisi zao Kwenda Maeneo yao ya Utawala

Imewekwa tar.: October 7th, 2019

Serikali imeziagiza Halmashauri 31 ambazo ofisi zao zipo nje ya maeneo yao ya utawala kuhamisha ofisi kwenda kwenye maeneo yao ya utawala ndani ya siku 30 kuanzia tarehe 07 Oktoba, 2019.

Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo wakati akiongea na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Sumbawanga na wanahabari mjini Sumbawanga baada ya kupokea maelekezo ya Waziri Mwenye Dhamana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye alibaini kuwa halmashauri nyingi hazifanyi kazi katika maeneo yao ya utawala na hivyo kupelekea utoaji wa huduma za kusua sua kwa wananchi na kurudisha nyuma maendeleo na mipango ya Serikali.

Waziri Jafo amezitaja halmashauri hizo kuwa ni pamoja na Halmashauri ya Wilaya Arusha, Halmashauri ya Wilaya Kondoa, Halmashauri ya Wilaya Geita, Halmashauri ya Wilaya Iringa, Halmashauri ya Wilaya Mufindi, Halmashauri ya Wilaya Bukoba, Halmashauri ya Wilaya Mpanda, Halmashauri ya Wilaya kasulu, Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Halmashauri ya Wilaya Moshi, Halmashauri ya Wilaya Lindi, Halmashauri ya Wilaya Babati, Halmashauri ya Wilaya Mbulu, Halmashauri ya Wilaya Musoma, Halmashauri ya Wilaya Bunda na Halmashauri ya Wilaya Tarime.

Halmashauri nyingine ni pamoja na Halmashauri ya Wilaya Mbeya, Halmashauri ya Wilaya Kilombero, Halmashauri ya Wilaya Mtwara, Halmashauri ya Wilaya Masasi, Halmashauri ya Wilaya Newala, Halmashauri ya Wilaya Njombe, Halmashauri ya Wilaya Kibaha, Halmashauri ya Wilaya Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya Mbinga, Halmashauri ya Wilaya Shinyanga, Halmashauri ya Wilaya Bariadi, Halmashauri ya Wilaya Singida, Halmashauri ya Wilaya Nzega, Halmashauri ya Wilaya Korogwe na Halmashauri ya Wilaya Handeni.

Awali Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli alitoa mwezi mmoja kwa watendaji wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kuhamia kwenye Mji mdogo wa Laela  ambao umejenga makao yake makuu katika Manispaa ya Sumbawanga wakati lengo la kuanzisha Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga lilikuwa ni kusogeza huduma kwa wananchi lakini mpaka sasa hawajahamisha ofisi zao kwenda katika eneo lao la utawala ambalo ni Mji mdogo wa Laela

Mhe. Magufuli alisema Mkurugenzi wa Halmashauri anatembea kilomita takribani 95 kwenda na kurudi ili awahudumie wananchi wakati kama angekuwepo karibu na wananchi adha zote wanazopata wananchi huduma kufuata huduma zisingekuwepo.

         Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.