Swahili
  • English
  • Swahili
    • Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Machapisho
      • Taarifa za Mapato
      • Majarida
      • Fomu Mbali mbali
      • Presentations
      • Ramani za mradi wa BOOST
      • Program ya SCALE
    • Miongozo
      • Miongozo OR TAMISEMI
      • Miongozo ya Elimu
      • Green and Smart Cities
      • Miongozo ya Kilimo
      • Miongozo ya Afya
    • Michoro ya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
  • Maktaba ya Video

Afrika yaaswa kuungana kuimarisha elimu mtandao, mifumo na uchumi wa kidigitali

Imewekwa tar.: May 8th, 2025

Na OR TAMISEMI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua kongamano la Kimataifa la elimu mtandao Afrika na kuzitaka nchi za Afrika kuungana ili kuleta mapinduzi ya elimu mtandao na kujenga uchumi wa kidigitali.

Mheshimiwa Dkt. Biteko ameyasema hayo leo wakati akifungua kongamano la Kimataifa la 18 la elimu mtandao kwa Afrika ‘eLearning Africa’ kwa niaba ya Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Dar es Salaam leo tarehe 7 Mei, 2025 Jijini Dar es Salaam na kutoa wito kwa nchi za Afrika kuungana pamoja ili kuleta mapinduzi ya elimu mtandao na kujenga Uchumi imara wa kidigitali miongoni mwao.

“mustakabali wa Afrika ni kuungana pamoja na kuimarisha miundo ya ushirikiano inayoruhusu uundaji wa suluhu za kidigitali zinazolengwa kulingana na mahitaji ya Afrika ambayo yatasaidia kuleta mageuzi ya kidijitali ambayo ni jumuishi na yenye matokeo, kushughulikia changamoto mahususi zinazokabili kanda mbalimbali na kuchangia ustawi wa muda mrefu wa Afrika” alisema Biteko.

Aidha, ameitaka Afrika kuendelea kuelimisha na kuendeleza rasilimali watu, kuwashirikisha wataalamu wenye ujuzi ndani na nje ya Afrika ili kuchangia kujenga uchumi imara wa kidigitali ambao utasaidia kuongeza uwezo wa kujitegemea na kuwezesha ukuaji endelevu wa uchumi wa kidijitali.

Kwa upande wake Mhe. Prof. Adolf Mkenda amesema lengo kuu la elimu mtandao kwa Afrika (ELearning Africa) ni kupanua ufikaji wa elimu na mafunzo bora lakini pamoja na maboresho ya Sera ya Elimu, Serikali imewekeza katika uwezo wa kimsingi kupitia ushirikiano wa Sekta ya Umma na Binafsi, inawezesha pia walimu, Viongozi wa shule na wakufunzi kujumuisha teknolojia katika ujifunzaji, huku ikichunguza matumizi ya AI katika ujifunzaji ambayo pia itasaidia katika utungaji Sera.

 “Hatua muhimu ni Sera ya Taifa ya Elimu na Mafunzo ya 2014 iliyosasishwa (toleo la 2023), ambayo inatanguliza ujumuishaji wa kidijitali katika ufundishaji na ujifunzaji. Hii inakamilishwa na Mkakati wa Kitaifa wa Elimu ya Dijiti na Miongozo ya utekelezaji, ikijumuisha ile ya matumizi ya AI katika elimu” anasisitiza Prof. Mkenda. 

Kongamano hilo linalofanyika kwa mara ya pili hapa nchini limewakutanisha wadau zaidi ya 1500 wa Sekta mbalimbali kutoka nchi za Afrika pamoja na Wadau wa Maendeleo wakiwemo wataalamu, wabunifu, watafiti, wawekezaji na wafanyabiashara ili kujadiliana, kubadilishana uzoefu na kupanga mikakati ya pamoja kama Afrika jinsi ya kutumia teknolojia ya kidigitali katika kuendeleza Sekta ya Elimu kwa ajili ya kujiletea maendeleo likiwa na  Kauli Mbiu inayosema “Kufikiri Upya Elimu na Maendeleo ya Rasilimali Watu kwa ustawi wa Baadae wa Afrika”

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUJITOLEA KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA KADA YA ELIMU CHINI YA MRADI WA GPE - TSP May 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MKATABA KWA KADA YA AFISA LISHE May 13, 2025
  • DMDP 2 Dar SWM Service Framework & Delivery System - REOI Advert May 12, 2025
  • Msimbazi Watershed Management - REOI Advert May 12, 2025
  • Fursa kwa Wahitimu wa Kidato cha Nne 2024 kubadili Tahasusi na Kozi April 02, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI AJIRA ZA AFYA - TAMISEMI 2025 March 15, 2025
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • PJT-MMMAM Yawezesha Uanzishwaji wa Vituo 206 vya Malezi ya Watoto Wadogo

    May 21, 2025
  • SERIKALI KUJENGA DARAJA LINALOUNGANISHA KIJIJI CHA NEGERO – KILINDI

    May 21, 2025
  • MHE. MCHENGERWA ABORESHA TAARIFA ZAKE KWENYE  DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Waziri Kairuki atoa maagizo DART
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Mfumo wa ugavi-Wizara ya Afya
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania

    Simu: +255 262 321 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.