• Kituo cha Huduma kwa Wananchi |
    • Contact us |
    • FAQ |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

The United Republic of Tanzania

President's Office - Regional Administration and Local Government

  • Mwanzo
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
    • Taasisi za Wizara
    • Majukumu ya Idara na Vitengo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi
    • Mpango Miji Mkakati (TSCP)
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi
    • Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Youtube Channel
    • Instagram
    • Twitter
    • Facebook
  • Machapisho
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
    • Green and Smart Cities
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Michoro ya Ujenzi
    • Msimbazi Basin Development Project
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App
    • Nyaraka Mbalimbali
  • Mifumo
    • Mikopo ya 10% ya Halmashauri
    • Ajira za Elimu & Afya
    • Mfumo wa Tarifa za Shule (SIS)
    • Machaguo Kidato cha 5 & Vyuo

Wataalam wa Maabara na Wafamasia waaswa kusimamia vifaa tiba

Posted on: June 29th, 2022

Na Fred Kibano

Serikali imewataka Waratibu wa Maabara na Wafamasia ngazi ya Mikoa kusimamia vifaa tiba ili kuwezesha utoaji wa huduma bora za afya kwa wananchi.

Akifungua kikao kazi cha Waratibu wa Maabara na Wafamasia wa Mikoa kwa niaba ya Naibu Katibu Mkuu (AFYA) Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Grace Maghembe katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Conventional Centre Jijini Dodoma, Dkt. Paul Chamote amesema kuwa Serikali imewekeza fedha nyingi kwa ajili ya kutoa huduma za afya nchini na hivyo wataalam hao hawana budi kuvitunza.

“nitumie fursa hii kuwaelekeza kusimamia vifaa hivyo ipasavyo na kuhakikisha kuwa vinatoa huduma iliyokusudiwa, nia ya Serikali ni kuhakikisha kuwa mwananchi anapata huduma ya afya iliyo bora na karibu ya maeneo wanayoishi”

Amesema katika mwaka wa fedha 2021/2022 Serikali imeidhinisha jumla ya shilingi bilioni 11.3 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa na vifaa tiba kwa hospitali 331 za awamu ya pili zilizoanza kujengwa katika mwaka 2018/2019 ambapo mwaka 2021 Ofisi ya Rais TAMISEMI ilipeleka kiasi cha shilingi bilioni 98 kwa Wakala wa Dawa (MSD) kwa ajili ya ununuzi na usambazaji wa vifaa vya CEmONC katika vituo vilivyoboreshwa.

Aidha, amewataka Wataalam hao kutunza zana za usimamizi na ufuatiliaji wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi bilioni 94.4 ambavyo vitatoa huduma kwenye majengo ya dharura (EMD) na wagonjwa mahututi (ICU) yaliyojengwa hivi karibuni ikiwa ni pamoja na kuhakikisha ukaguzi wa bidhaa za afya unafanyika kila robo ya mwaka na kutumwa Ofisi ya Rais TAMISEMI ikionesha hatua zilizochukuliwa kwa yote yaliyobainishwa”

Kwa upande wake Elizabeth Shekalaghe Msajili wa Maduka ya Dawa (Pharmacy) nchini amewataka Waratibu hao wa Mikoa kuitumia taaluma yao ya maabara ipasavyo kwa kuwa ndio wanaotegemea kutoa ushauri thabiti kwenye eneo la taaluma hiyo lakini pia kuendelea kusimamia maduka ya dawa na maabara kwa weledi wa taaluma yao.  

Naye Julius Mwasimba Msimamizi wa Huduma za Maabara Mkoa wa Lindi amesema kikao kazi hicho kitawasaidia wataalam kujadili changamoto ili kupata matokeo chanya kwenye kazi yao na pia ameipongeza Serikali kwa kuendelea kuwapatia huduma stahiki za afya.

Serikali katika mwaka wa fedha 2021/2022 iliajiri watumishi wapatao 7,612 wa kada ya afya ikiwa ni pamoja na watumishi wa radiolojia ambao watasaidia utoaji wa huduma bora za afya.


Announcements

  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (Marudio) July 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - TOA July 22, 2022
  • MAJINA YA WALIOPATA AJIRA KADA ZA AFYA NA UALIMU June 26, 2022
  • ORODHA YA WAKUU WA KITENGO CHA FEDHA YENYE MABADILIKO 5-5-2022 May 06, 2022
  • Kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa 2022 May 05, 2022
  • MUDA WA NYONGEZA MAOMBI YA AJIRA ZA TAMISEMI 2022 May 04, 2022
  • View All

Latest News

  • Utekelezaji wa Miradi ya Elimu isimamiwe na kukamilika kwa wakati- Dkt. Msonde

    August 15, 2022
  • UBUNIFU KIVUTIO UMISSETA 2022

    August 15, 2022
  • Bilioni 776.6 zaelekezwa katika ujenzi, ukarabati na matengenezo ya barabara vijijini na mijini katika mwaka wa fedha 2022/23

    August 14, 2022
  • TARURA KUONGEZA MTANDAO WA BARABARA ZA LAMI KM 1,450, CHANGARAWE KM 73,242’ ENG. SEFF

    August 14, 2022
  • View All

Video

Taarifa ya Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/22
More Videos

Quick Links

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Michoro ya Ujenzi
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Related Links

  • Ajira za Tamisemi
  • Mfumo wa vibali vya kusafiri nje ya nchi
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Location Map

Contact us

    Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    Postal Address: 1923 Dodoma - Tanzania

    Telephone: +255 262 321 234

    Mobile:

    Email: ps@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Started on: 27th. July 2015
click here

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.