• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

Spika Ndugai ampeleka Jafo Site

Imewekwa tar.: February 25th, 2020

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amempeleka Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo eneo inapojengwa shule maalumu ya wasichana itakayojulikana kama Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunge inayojengwa katika eneo la Kikombo Jijini Dodoma


Akiwa katika eneo hilo la ujenzi Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai amesema ni vyema Waziri anayehusika na uendeshaji na usimamizi wa shule akajua mapema sehemu inapojengwa na mendeleo ya ujenzi wake ili kama kuna maboresho aweze kuyatoa mapema na kufanyiwa kazi.


“Hapa tunajengwa kwa kutumia ‘Force Account’ mfumo ule ule ulioasisiwa na TAMISEMI na ramani za majengo ni zile zile za TAMISEMI ila kuna baadhi ya maeneo tumeboresha kidogo lakini hatujaenda nje ya maelekezo ya Wizara hii kuhusu ujenzi wa miundombinu ya shule” Alisema Spika Mhe. Ndugai.


Akizungumzia wazo wa kujenga shule hiyo Spika Ndugai alisema Waheshimiwa Wabunge Walifanya changisho kupitia matukio ya kijamii na wadau mbalimbali wakachangia jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 1.2 fedha hiyo ilipatikana kutoka katika sehemu ya posho za Wabunge na michango ya wadau hao.


“Lengo la awali ilikua kujenga vyoo vya mfano vya wasichana katika kila Jimbo Nchini lakini baadae tukaona tuunganishe nguvu tujenge kitu kimoja kikubwa kitakachoacha alama ya Bunge la 11 mara litakapomaliza muda wake”.


Hakika katika hili Bunge la 11 limefanya kazi ya zaida, zaidi ya ile ambayo tumeizoea na ipo Kisheria ambayo ni kutunga Sheria wakati huu tumeamua tufanya kazi ya Jamii itakayoboresha Elimu ya mtoto wa Kike wa Tanzania na tukaelekeza nguvu katika ujenzi wa shule hii ya mfano ya Wasichana alisema Spika Ndugai.


“Shule hii inayojengwa itakua na  miundombinu yote inayohitajika kwa ajili ya Shule ya Sekondari kuanzia madarasa ya kutosha, maabara, mabweni, bwalo la kisasa, vyoo, ofisi za walimu, jengo la utawala pamoja na library yenye miundombinu ya TEHAMA” aliongeza Spika Ndugai.


Aidha Spika Ndugai ameweka wazi kuwa ujenzi wa shule hiyo utakamilika Mwezi Juni, 2020 na kwa umoja wa Bunge la 11 wataikabidhi kwa Waziri wa TAMISEMI Mhe. Jafo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Joseph Magufuli.


Akizungumza akiwa katika eneo la ujenzi wa shule hiyo Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo amemshukuru Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai pamoja na Wabunge wote wa Bunge la 11 kwa michango yao na wazo lenye tija la kujenga shule maalumu ya Wasichana ya Bunge.


“Nimefarijika sana kuaona wazo hili limeanza kutekelezwa na ndoto ya Bunge la 11 sasa inaanza kutimia na kwa sababu Spika amekuja kunionyesha kuanzia leo na mimi nitakuwa napita mara kwa mara kuangalia maendeleo ya ujenzi huu ili kwa pamoja tuweze kuikamilisha ndoto hii ya Bunge letu” Alisema Jafo.


Nitahakikisha kuwa Shule hii mara inapokamilika na kukabidhiwa TAMISEMI tunapanga walimu wenye ubora na wanafunzi wenye ufaulu mzuri ili kwa pamoja waweze kuleta matokeo mazuri ya shule hii, tunakata shule hii iwe ya mfano na maalumu kwa heshima ya Bunge la 11 alisema Jafo.


“Tunataka tuienzi shule hii kwa heshima ya Bunge la 11 tutafanya kila linalowezekana kuhakikisha wanafunzi watakaosoma hapa wanafaulu kwa viwango vya juu ili shule hii iweze kuingia katika shule kumi bora za Tanzania katika matokeo ya kidato cha sita alisisitiza Jafo.


Mwisho.





Matangazo

  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Taarifa ya ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri kwa kipindi cha nusu Mwaka (Julai – Disemba, 2019) kwa Mwaka wa fedha 2019/2020 February 09, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • “PS3 plus” Yarudi kwa kishindo, Bilioni 114 kuwezesha Mifumo Sekta ya umma nchini

    January 16, 2021
  • Serikali yagawa vifaa vya bilioni 3 kwa Wanafunzi 18,488 wenye mahitaji maalum

    January 14, 2021
  • Mweli awatolea uvivu kidato cha Nne, Sita, awajenga kinidhamu

    January 11, 2021
  • Mweli awatega Wakuu wa Shule, Walimu Wakuu kwenye Mfumo wa PREM/PREMS.

    January 10, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.