• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

Serikali Yaagiza Mikoa Kusimamia Miradi ya Maendeleo Kuleta Ufanisi

Imewekwa tar.: May 27th, 2019

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhandisi Joseph Nyamhanga amewaagiza Makatibu Tawala Mikoa Tanzania Bara kusimamia vyema miradi yote ya maendeleo katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa ili ikamilike kwa wakati na kwa thamnai ya fedha iliyopangwa.

Mhandisi Nyamhanga ametoa kauli hiyo wakati akiongea na Uongozi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Manyara na Halmashauri za Babati Mji na Wilaya na wakati akikagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri hizo.

“Timu zote za Sekretarieti za Mikoa zinazosimamia miradi ya afya na miradi mingine zihakikishe kuwa kazi za miradi zinakamika kwa wakati uliyopangwa na kwa thamani ya fedha ile ile lakini pia utoaji wa huduma bora kwa wananchi ili kuleta tija”

Amesema miradi hiyo ni pamoja na ile ya sekta ya afya ambapo kuna ujenzi wa hospitali za Wilaya 67 unaotakiwa kukamilka mapema mwezi Juni, 2019, vituo vya afya 352 ambavyo ujenzi wake umebakia kwa baadhi ya vituo vya awamu ya tatu, miradi ya vikundi vya vijana, akina mama na watu wenye ulemavu kwa kutenga asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri husika, miradi ya barabara, stendi, elimu na mingine mingi inayotekelezwa katika Halmashauri zote nchini.

Aidha, Nyamhanga amesema katika mwaka wa fedha 2019/2020 Serikali itajenga hospitali mpya za wilaya 27 na vituo vipya vya afya zaidi ya 52 ili kuboresha sekta ya afya nchini kama ilivyokusudiwa na Serikali ya Awamu ya Tano kuboresha afya za wananchi.

Katika hatua nyingine Nyamhanaga amesema kuwa Serikali inaendelea kutoa fedha kwa ajili ya kugharimia Elimu Bila Malipo amabapo jumla ya shilingi Bilioni 29.5 zinatolewa kila mwezi katika vituo vya kutolea huduma moja kwa moja.

Amewaasa watumishi wa Serikali katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuacha kufanya kazi kwa mazoea bali wajitume ili kutoa huduma bora kwa wananchi ambao ndio walengwa wakuu katika sekta zote.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bw. Masaile Mussa akitoa taarifa ya Mkoa wa Manyara,  amesema kuwa katika sekta ya elimu kiwango cha ufaulu kimeongezeka ambapo mwaka 2018 darasa la saba ni asilimia 70 na kidato cha nne ni asilimia 84 na ufaulu huo unaongezeka kila mwaka na lengo lao ni kupita asilimia 80.

Aidha, Mkoa wa Manyara umefanikiwa kutoa vitambulisho 60,000 vya Mhe. Rais walivyopatiwa Mkoa wa Manyara ambapo mpaka sasa wafanya biashara wadogo wapatao 38,726 wamepatiwa vitambulisho na bado wanaendelea kugawa ili kufikia malengo waliyojiwekea kwa kugawa vitambulisho vyote.

Mhandisi Nyamhanga anafanya ziara yake ya kikazi mkoani Manyara ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI).

Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Wakurugenzi watakiwa kujitathimini Ukusanyaji wa Mapato

    January 21, 2021
  • Dodoma wapongezwa, wapewa miezi 5 kukamilisha ujenzi wa barabara

    January 20, 2021
  • Shule ya Msingi Nkuhungu yapewa siku 14 kukarabatiwa

    January 20, 2021
  • Asilimia 10 inavyoibua Wajasiriamali Arusha

    January 19, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.