• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

Serikali yaagiza Kituo cha Afya Majengo kuhudumia wananchi

Imewekwa tar.: June 9th, 2018

Serikali imeagiza kuanza kutolewa kwa huduma za afya katika kituo cha afya majengo wilayani Nanyamba mkoani Mtwara ndani ya miezi mitatu kwa kuwa ujenzi wa majengo yake yote yapo katika hatua za mwisho.

Akitoa maagizo ya Serikali, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Zainab Chaula amesema hakuna haja ya kuchelewesha kutoa huduma za afya katika kituo cha afya majengo kwa kuwa wananchi wanahangaika kuitafuta huduma hiyo mbali wakati miundombinu ya kituo hicho ipo katika hatua za mwisho.

“kwa sababu watu wanahitaji huduma, wanafanya mawasiliano sehemu nyingine ili kupata huduma ambayo hapa haipo, lakini ndani ya miezi mitatu lazima huduma zianze kutolewa, Mganga Mkuu wa Wilaya Nanyamba andaa andiko ili mchakato wa kuanzisha kituo uanze mara moja”

Dkt. Chaula ametoa agizo hilo mbele ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Nanyamba, Mganga Mkuu wa Mkoa Mtwara, wataalam wengine kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Ofisi ya Rais TAMISEMI wakati akiongea na wananchi katika mkutano ulioandaliwa baada ya kukagua miundombinu ya kituo cha afya majengo.

Aidha, Chaula amesema wakati Serikali inawapangia vituo watumishi wapya 6,180 imewaweka katika mpango wa kuwapangia vituo watumishi wapya katika vituo vipya vinavyokamilika kwa wakati, lakini pia ametoa angalizo kwa wananchi, watumishi na viongozi wote wilayani Nanyamba kuweka mazingira rafiki ili watumishi wapya wasipatwe na hali ya kuyakataa mazingira ya kazi bali watoe motisha kutatua changamoto hiyo.

Hassan Mnengu ni mwananchi wa kijiji cha majengo anasema huenda usumbufu waliokuwa wakiupata utakwisha kwa kufuata huduma za afya mbali na kijiji chao kwa hivi sasa.

“haya majengo yatatutatulia changamoto zilizopo, moja ya usumbufu ni wa kufuata huduma za afya kutoka Nanyamba kwenda wilaya ya Tandahimba au kituo cha afya kilichopo Nanguruwe”

Katika hatua nyingine, Dkt. Zainab Chaula amewaasa wananchi kupanda miti ya matunda zaidi badala ya miti ya kivuli ikiwa ni pamoja na maeneo ya vituo vya afya kwani ni sehemu ya lishe ya jamii.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa, wilaya ya Nanyamba ina zaidi ya wakazi 114,000 na hivyo vituo vitatu vya afya wanavyovijenga wilayani humo, vitakidhi mahitaji ya jamii kwani Sera ya afya inataka watu 50,000 wahudumiwe katika kituo kimoja cha afya.  


Imeandikwa na Fred Kibano

Matangazo

  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Taarifa ya ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri kwa kipindi cha nusu Mwaka (Julai – Disemba, 2019) kwa Mwaka wa fedha 2019/2020 February 09, 2020
  • Tangazo la kazi kada ya Afya January 20, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • “PS3 plus” Yarudi kwa kishindo, Bilioni 114 kuwezesha Mifumo Sekta ya umma nchini

    January 16, 2021
  • Serikali yagawa vifaa vya bilioni 3 kwa Wanafunzi 18,488 wenye mahitaji maalum

    January 14, 2021
  • Mweli awatolea uvivu kidato cha Nne, Sita, awajenga kinidhamu

    January 11, 2021
  • Mweli awatega Wakuu wa Shule, Walimu Wakuu kwenye Mfumo wa PREM/PREMS.

    January 10, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.