• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

Msibomoe Majengo haya- Serikali

Imewekwa tar.: January 12th, 2020

Serikali imezitaka Halmashauri ambazo zilipelekewa fedha kwaajili ya ujenzi na upanuzi wa Vituo vya Afya pamoja na Zahanati kuacha mara moja mipango yakubomoa baadhi ya majengo yaliyokuwepo hapo awali.

Rai hiyo imetolewa mkoani Ruvuma na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, anayeshughulikia Afya, Dkt. Dorothy Gwajima akiwa njiani akitokea Mikoa ya Songwe na Rukwa alipokwenda kwa shughuli za kikazi kukagua  miradi mbali mbali ya afya kwenye mikoa hiyo.

Dkt. Gwajima, amefikia hatua hiyo akiwa katika Zahanati ya Mtakanini iliyopo katika Halmashauri ya Namtumbo mkoani Ruvuma, ambapo Zahanati hiyo ilipelekewa kiasi cha shilingi milioni 400 kwaajili ya upanuzi wa kituo hicho lakini tayari ilikuwa imesha anza ujenzi wa jengo la uzazi.

Halmashauri hiyo baada yakupokea fedha, yalitokea malumbano yakutokuelewana kwa baadhi ya viongozi wa eneo hilo na kutaka kubomoa jengo hilo kwa madai kuwa lilikuwa tofauti na ramani   zilizo tolewa na ofisi ya Rais TAMISEMI kwa ujenzi wa vituo vya afya na zahanati.

“Kuyatelekeza majengo ambayo yalisha jengwa hapo awali au kuyabomoa bila kufanya tathmini ya kina itakuwa nikupoteza fedha za serikali, hivyo wito wetu Ofisi ya Rais TAMISEMI, tunaielekeza Mikoa na Halmashauri kama kuna majengo yalishajengwa waanze kwakuyafanyia tathmini na yanayoweza kurekebishika basi yafanyiwe hivyo na sio kuyatelekeza au kuyabomoa”, alisema Dkt. Gwajima.

Kwa upande wake Mratibu wa ujenzi kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Shaban Sonda, alisema Zahanati hiyo ya Mtakanini ilipokea fedha hizo ili kufanya upanuzi wa kituo lakini kwakuwa tayari walikuwa na jengo la uzazi ni vema fedha hizo zifanye maboresho sambamba na kujenga majengo mengine yaliyo kusudiwa ikiwapo jengo la upasuaji.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dkt. Jairy Khanga alisema, Mkoa huo ulipokea kiasi cha shilingi bilioni 1.2 kwa ajili ya upanuzi wa Zahanati za Mtakanini, Matimila pamoja na Magagula, ambapo amedai kuwa, nguvu kubwa itaelekezwa kwenye majengo ya Wodi ya uzazi, upasuaji pamoja na maabara lakini pia nyumba za watumishi kulingana na mahitaji kwa kila Zahanati.

Kwa mujibu wa Mganga mfawidhi wa kituo cha Mtakanini, Tabibu Magreth Pastory, alisema kituo cha Mtakanini kwa sasa kinahudumia zaidi ya watu 300 hivyo upanuzi wa kukifanya kuwa kituo cha Afya umekuja kwa wakati muafaka.

Ofisi ya Rais TAMISEMI, imeendelea kuboresha miundombinu ya Afya na huduma zake kote nchini, shabaha ikiwa nikuhakikisha nchi inakuwa na watu wenye afya njema watakao shiriki ujenzi wa taifa kwa shughuli za maendeleo na kuifikisha nchi katika uchumi wa kati ifikapo 2025.

Na. Atley Kuni, Namtumbo: RUVUMA

Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Wakurugenzi watakiwa kujitathimini Ukusanyaji wa Mapato

    January 21, 2021
  • Dodoma wapongezwa, wapewa miezi 5 kukamilisha ujenzi wa barabara

    January 20, 2021
  • Shule ya Msingi Nkuhungu yapewa siku 14 kukarabatiwa

    January 20, 2021
  • Asilimia 10 inavyoibua Wajasiriamali Arusha

    January 19, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.