• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App

Mbulu anzeni kupima viwanja, Dongobesh Inakua kwa kasi

Imewekwa tar.: September 13th, 2019

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewaagiza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kuanza kupanga Mji wa Dongobeshi kwa kuwa makao makuu ya Wilaya hiyo yanahamia hapo ndani ya kipindi cha muda mfupi.

Waziri Jafo ameyasema hayo wakati alipokuwa kwenye ziara ya kikazi katika Mkoa wa Manyara na kutembelea  ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Wilaya ya Mbulu  linalojengwa katika eneo la Dongobeshi.

“Hapa pameshakua mjini sasa maana Jengo la Halmashauri la Gorofa kama hili linaendelea kujengwa na wote watumishi wote mtahamia hapa, bado kuna kituo cha Afya ambacho kimeshakamilika na kuanza kutoa huduma na Serikali inaendelea na Ujenzi wa Hospital ya Wilaya katika eneo hili miradi hii yote kwa kiasi kikubwa itachangia ukuaji na uhamiaji wa watu hivyo ni vyema mkajipanga kuona namna bora ya kupanga mji wenu” Alisema Jafo

Aliongeza kuwa Mnatakiwa muanze kufikiria maeneo yatakayofaa kwa ajili ya upimaji wa viwanja hapa hapatakiwa kuanza kukua kiholela pimeni viwanja  watu wakae kwenye maeneo yaliyopangika na mji uweze kukua vizuri.

Wakati huo huo Waziri Jafo ameupongeza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kwa usimamizi makini wa ujenzi wa Jengo la Halmashauri linaloendelea kujengwa katika eneo la Dongobesh.

“Tumewaletea fedha kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Utawala  lakini kukawa na mivutano ya wapi  pangefaa kuwa Makao Makuu ya Wilayah ii ambapo ndipo Jengo hili lilitakiwa kujengwa: Ninachofurahi kuona leo ni kuwa mlipokea maelekezo na jengo limejengwa katika eneo la Dongobesh ambapo ni katikati ya Wilayah ii na rahisi kwa wananchi kufika  kutoka kila pande za Wilaya hii”Alisema Jafo.

Kwa kujenga jengo hili Dongobesh mmewatendea haki Wananchi wa Mbulu kwa kuwa mmewapunguzia gharama ya muda na umbali ambao kwa muda mrefu imewagharimu kufuata huduma za Muhimu katika Ofisi za Serikali aliongeza Jafo.

“Nimeridhishwa  na ujenzi unaoendelea na nimefurahi kuona mmeshakamilisha majengo ya chini, nimeridhishwa na ubora wa Jengo pamoja na  gharama  nafuu toka kwa Mkandarasi Mzinga holding Company pamoja na Mhandisi Mshauri Dar es salaam Institute of Technology (DIT) niseme kazi nzuri na hongerni sana ” alimalizia Jafo.

Akiwasilisha ripoti ya ujenzi wa Jengo la Halmashauri Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Hudson Kamoga amesema ujenzi  wa jengo la Utawala unafanyika kwa awamu tatu na katika awamu ya kwanza inahusisha ujenzi wa jengo la mbele ambalo litagharimu tsh Bil 4.7  awamu ya pili itahusisha ujenzi wa ukumbi, ghala na mgahawa na awamu ya tatu utahusisha ujenzi wa pande mbili za nyuma ya jengo.

Kamoga aliongeza kuwa Jengo hilo la Utawala limekadiriwa kujengwa kwa gharama ya Tsh 6.7 ambapo gharama za ujenzi ni Bil 6.3 na gharama sa mhandisi mshauri ni mil 351 huku gharama sa kuandaa mchoro zikigharimu tsh mil 30 tu.

Ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Mbulu umetokana na kugawanyika kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu na kupatikana kwa  Halmashauri ya Mji wa Mbulu pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu  na kupelekea Mbulu Mji kubakia Mjini na Halmashauri ya Wilaya kuhamia katika eneo la Dongobesh ambapo ujenzi huo unaendelea.


Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Agizo la ujenzi wa vyumba vya madarasa 2257 latekelezwa

    March 02, 2021
  • Waziri Jafo ataka Shilingi Bilioni 245 za Miradi ya Maendeleo zitumike kwa wakati

    March 01, 2021
  • Serikali yalegeza masharti mikopo ya asilimia 10

    February 27, 2021
  • Vikundi 23 Wilayani Busega vimenufaika na mikopo ya asilimia 10

    February 26, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.