• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

Kilimanjaro, Lindi tishio soka wasichana UMITASHUMTA

Imewekwa tar.: June 27th, 2019

Na Mathew Kwembe, Mtwara

Timu za mikoa ya Kilimanjaro, Lindi na Manyara zimekuwa tishio kwa timu nyingine zinazoshiriki michuano ya UMITASHUMTA inayoendelea katika viwanja vya chuo cha ualimu Mtwara baada ya jana kutoa vipigo vikali kwa wapinzani wao.

Timu ya soka wasichana ya mkoa wa Kilimanjaro iliibugiza Katavi magoli 7-0, Lindi nayo ikiifunga Ruvuma 5-0 huku Mara nayo ikitoa kipigo kama hicho kwa kuichapa Rukwa 5-0.

Matokeo mengine katika mchezo huo yanaonyesha kuwa Manyara iliifunga Singida 2-1, Simiyu ilipata ushindi wa chee baada ya Arusha kutofika uwanjani, Kagera imeifunga Mbeya 2-0, huku Iringa ikifungwa na Geita 0-3.

Katika mchezo wa soka maalum Kagera iliifunga Katavi magoli 9-0, Shinyanga wakiibugiza Rukwa magoli 6-0, Njombe walifungwa na Kilimanjaro 0-1, Manyara ikitoka sare na Singida ya 0-0, Tanga ikifungwa na Mtwara magoli 1-4, Dodoma ikiichapa Geita 1-0, na Mara ilifungwa na Ruvuma 1-3.

Kwa upande wa soka wavulana matokeo yanaonyesha kuwa Dodoma walifungwa na Dar es salaam 2-3, Kilimanjaro iliifunga Tanga 1-0, Singida iliifunga Mara 2-0, Lindi ilitoka suluhu ya bila kufungana na Simiyu, na Mtwara ilifungwa na Pwani magoli 0-3.

Iringa ilifungwa na Mwanza magoli 1-5, Manyara ilichapwa na Shinyanga magoli 0-5, Ruvuma iifungwa na Geita 0-2, Kigoma iliichapa Njombe 1-0, huku Songwe nayo ikpata kipigo kutoka kwa Kagera kwa magoli 0-2, Tabora ilitoka suluhu Rukwa na Arusha ilifungwa na Morogoro magoli 1-3.

Michezo mingine iliyochezwa leo ni pamoja na mchezo wa mpira wa mikono ambapo matokeo yanaonyesha kuwa Kagera ilifungwa na Songwe magoli 3-11, Tabora wasichana walifungwa na Lindi  magoli 5-9, Rukwa wavulana walifungwa na Dar es salaam magoli 12-31, Mbeya walitoka sare na Mara kwa kufungana magoli 10-10, Tabora waliifunga Iringa 19-14, na kagera walifungwa na Pwani 9-10.

Matokeo mengine Njombe wavulana walifungwa na Tanga magoli 4-27, Dodoma wasichana waliifunga Shinyanga magoli 15-7, Shinyanga wavulana walifungwa na Manyara 6-13, Lindi wasichana waliifunga Kagera 13-1, Kagera wavulana walifungwa na Dodoma 12-23, Manyara wasichana na Tabora walitoka sare 8-8, Pwani wavulana iliifunga Njombe 11-8, na Mbeya wavulana walifungwa na Morogoro 6-15.

Shinyanga wasichana iliifunga katavi 10-9, Mtwara wavulana ilifungwa na Arusha 5-9, Morogoro wasichana waliichapa Mtwara 17-7, Songwe wavulana waliibugiza katavi magoli 20-13, Tanga wavulana waliifunga Kigoma 11-9, Mara wasichana iliipa kipigo Songwe 19-01, Mara wavulana ilifungwa na Morogoro 17-19, Dar es salaam wavulana iliifunga Ruvuma 24-03, na Mwanza wasichana iliichapa Singida 08-03.

Katika mchezo wa riadha kuruka juu wavulana medali ya dhahabu imechukuliwa na Lomnyaki Yakobo wa Manyara ambaye aliruka urefu wa mita 1 na sentimita 62, medali ya fedha ilikwenda kwa mwanariadha Daniel Kileo wa Manyara abaye aliruka urefu wa mita 1 na sentimita 60, huku medali ya shaba ikichukuliwa na mwanariadha Nguruko Mashaka wa Pwani aliyeruka urefu wa mita 1 na sentimita 58.

Matangazo

  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Taarifa ya ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri kwa kipindi cha nusu Mwaka (Julai – Disemba, 2019) kwa Mwaka wa fedha 2019/2020 February 09, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • “PS3 plus” Yarudi kwa kishindo, Bilioni 114 kuwezesha Mifumo Sekta ya umma nchini

    January 16, 2021
  • Serikali yagawa vifaa vya bilioni 3 kwa Wanafunzi 18,488 wenye mahitaji maalum

    January 14, 2021
  • Mweli awatolea uvivu kidato cha Nne, Sita, awajenga kinidhamu

    January 11, 2021
  • Mweli awatega Wakuu wa Shule, Walimu Wakuu kwenye Mfumo wa PREM/PREMS.

    January 10, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.