• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

Jafo atangaza majina ya wanafunzi wa kujiunga kidato cha tano awamu ya pili

Imewekwa tar.: August 28th, 2019

Jumla ya wanafunzi 1674 kati ya wanafunzi 1,861 waliokuwa wanasuburi chaguo la pili la kujiunga na kidato cha tano, wamepewa nafasi hiyo baada ya kuwa na sifa zinazotakiwa.

Hayo yalibainishwa leo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Selemani Jafo wakati  akiongea na waandishi  wa habari kuhusiana na uchaguzi wa wanafunzi katika chaguo la pili( Second Selection).

Amesema kuwa wanafunzi 187 wameshindwa kuchanguliwa kutokana na tahasusi (combination) zao kutokuwa na ulinganifu unaotakiwa.

Mhe. Jafo amesema kuwa kati ya wanafunzi 1,674 waliochaguliwa ni wanafunzi 1497 ambao wamepangiwa masomo ya sanaa na biashara wakati wanafunzi 178 watajiunga na masomo ya sayansi na hisabati.

Akifafanua zaidi amesema wanafunzi hao wanatakiwa kuanza kuripoti katika shule walizochaguliwa kuanzia Septemba 2 hadi 16 mwaka huu na kuwa watakaoshindwa kufanya hivyo watakuwa amepoteza nafasi hiyo.

“Pia nitoe wito kwa wanafunzi 187 ambao wameshindwa kuchaguliwa kwasababu ya tahasusi zao kutokuwiana (balance) waombe kusoma kwenye vyuo vya ufundi ambayo vinasimamiwa na Baraza la Vyuo vya Ufundi (NACTE).

Hivi karibuni Jafo alitangaza uchaguzi wa wanafunzi wa kijiunga na kidato cha tano awamu ya kwanza na kubainisha kuwa jumla ya wanafunzi 108,644 ambao ni sawa na asilimia 98.31, walichaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi ikiwa ni kati ya wanafunzi 110,505 wenye sifa.

Mhe. Jafo alisema kuwa kati ya wanafunzi hao, wanafunzi 69,356 ambapo wasichana ni 31,809 na wavulana 37,547 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano ambao ni sawa na asilimia 62.76 ya wanafunzi 110,505 ya waliokuwa na sifa

Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano kuwa ni 35,703 waliochaguliwa tahasusi ya Sayansi na Hisabati, kati yao wasichana ni 14,876 na wavulana 20,827 huku wa tahasusi ya Sanaa na Biashara ni 33,653, wasichana wakiwa ni 16,934 na wavulana ni 16,719.

 Waliojiunga na shule za wanafunzi wenye ufaulu mzuri zaidi (vipaji maalum) ni 1,462 ambapo wasichana ni 646 na wavulana 816. “miongoni mwao wanafunzi 6 ni wenye mahitaji maalumu ambao wasichana ni watatu na wavulana watatu.

Alisema wanafunzi wenye mahitaji maalumu waliochanguliwa ni 157 ikiwa wasichana ni 74 na wavulana ni 86 wakati wanafunzi waliochanguliwa ambao waliosoma chini ya taasisi ya Elimu ya Watu Wazima ni 174 ikiwa ni wasichana 74 na wavulana 100.

Aidha Mhe. Jafo ametoa wito  kwa wanafunzi waliopangwa awamu ya pili kuripoti kuanzia tarehe 2 Septemba, 2019 na wanafunzi watakaoshindwa  hadi kufikia tarehe 16 Septemba, 2019 atakuwa amepoteza  nafasi yake

Na. Angela Msimbira OR-TAMISEMI


Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Wakurugenzi watakiwa kujitathimini Ukusanyaji wa Mapato

    January 21, 2021
  • Dodoma wapongezwa, wapewa miezi 5 kukamilisha ujenzi wa barabara

    January 20, 2021
  • Shule ya Msingi Nkuhungu yapewa siku 14 kukarabatiwa

    January 20, 2021
  • Asilimia 10 inavyoibua Wajasiriamali Arusha

    January 19, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.