• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya

Dar es Salaam Bingwa UMISSETA 2019

Imewekwa tar.: June 21st, 2019

Na Mathew Kwembe, Mtwara,

Mashindano ya 40 ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania UMISSETA yamefungwa rasmi jana katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara na Waziri wa elimu,sayansi,na teknolojia na ufundi Profesa Joyce Ndalichako kwa mkoa wa Dar es salaam kutangazwa kuwa mshindi wa jumla wa UMISSETA 2019.

Katika mashindano ya mwaka huu jumla ya mikoa 28 ikiwemo miwili ya Unguja na pemba ilishiriki mashindano hayo.

Mkoa wa Dar es salaam ulishika nafasi ya kwanza baada ya washiriki wake kufanya vizuri kwenye michezo ya mpira wa kikapu wasichana ambapo walishika nafasi ya kwanza, wavu walishika nafasi ya pili wasichana na wavulana, soka walishika nafasi ya tatu wasichana.

Pia washiriki kutoka mkoa wa Dar es salaam walifanya vizuri katika mchezo wa mpira wa meza ambapo wasichana walishika nafasi ya kwanza, netiboli pia walishika nafasi ya kwanza, na riadha wavulana walishika nafasi ya pili.

 Nafasi ya pili ilichukuliwa na Morogoro,nafasi ya tatu ilienda  Mwanza, nafasi ya nne ilichukuliwa na Tabora na Mbeya ulishika nafasi ya tano.

Kabla ya kutoa hotuba yake, Mhe. Ndalichako na wageni waalikwa walipata fursa ya kushuhudia pambano kali la fainali soka wavulana kati ya Songwe na Ruvuma ambapo mshindi ilibidi apatikane kwa njia ya penati baada ya timu hizo kufungana goli 1-1.

Katika hatua ya penati Ruvuma ilifanikiwa kuchukua ubingwa  wa UMISSETA wavulana baada ya kuifunga timu ngumu ya Songwe kwa penati 10-9.

Mshindi wa tatu Soka wavulana ni Mwanza ambapo golikipa bora kwa upande wa soka wavulana ni Nice kahemele wa Ruvuma na kwa wasichana ni Safina Haule pia kutoka mkoa wa Ruvuma.

Mfungaji bora kwa upande wa soka wavulana ni Paul Nyerere wa Mwanza ambaye alifanikiwa kupata magoli 6 huku mfungaji bora kwa upande wa soka wasichana ni Aisha Hamisi wa Mwanza ambaye alifunga magoli 13.

Mchezaji bora wa mashindano ya UMISSETA 2019 ni John Chinguku kwa upande wa soka wavulana kutoka Ruvuma na kwa upande wa soka wasichana mchezaji bora ni Ester Daniel kutoka Mwanza.

Kwa upande wa wachezaji walioonyesha mchezo mzuri (fair play) kwa soka wavulana ni Jackson Simba wa Ruvuma na kwa soka wasichana ni Lucy Mwenda pia kutoka mkoa wa Ruvuma.

Mapema kabla  ya kugawa zawadi kwa washindi mbalimbali, Waziri Ndalichako alisema kuwa serikali inayathamini sana mashindano ya UMISSETA kama sehemu sahihi ya kupata wanamichezo wenye vipaji watakaoweza kutumika kuendeleza sekta ya michezo nchini.

Hivyo akataka wizara yake ihakikishe kuwa pindi wanapofanya ukaguzi shuleni wahakikishe pia somo la michezo linakuwemo.

Pia akataka kila shule inayosajiliwa ihakikishe kuwa inakuwa na viwanja vya michezo ili kuwawezesha watoto watakaosoma katika shule hizo kupata fursa ya kucheza michezo mbalimbali.

Waziri Ndalichako amesema kuwa michezo ni sehemu nuhimu sana kwa wanafunzi kwani inawajengea afya ya akili pindi wanaposhiriki michezo mbalimbali na hivyo kuwawezesha kusoma vizuri.

Kwa upande wake Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Mhe.Mwita Waitara amesema kuwa Ofisi yake itaendelea kuhakikisha kuwa michezo ya UMISSETA inafanyika ili kuwawezesha vijana wenye vipaji kuonyesha uwezo wao na hivyo kupata fursa ya kujiendeleza kimichezo.

Matangazo

  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Taarifa ya ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri kwa kipindi cha nusu Mwaka (Julai – Disemba, 2019) kwa Mwaka wa fedha 2019/2020 February 09, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • “PS3 plus” Yarudi kwa kishindo, Bilioni 114 kuwezesha Mifumo Sekta ya umma nchini

    January 16, 2021
  • Serikali yagawa vifaa vya bilioni 3 kwa Wanafunzi 18,488 wenye mahitaji maalum

    January 14, 2021
  • Mweli awatolea uvivu kidato cha Nne, Sita, awajenga kinidhamu

    January 11, 2021
  • Mweli awatega Wakuu wa Shule, Walimu Wakuu kwenye Mfumo wa PREM/PREMS.

    January 10, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.