• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za watumishi |
PO-RALG

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

  • Mwanzo
  • Utawala
  • Kuhusu Sisi
    • Local Government History
    • Kuhusu Wizara
      • Directories
    • Dira na Dhima
    • Majukumu ya Wizara
    • Mkataba wa Huduma kwa mteja
    • Idara
  • Mikoa
    • Arusha
    • Dar es Salaam
    • Dodoma
    • Geita
    • Iringa
    • Kigoma
    • Kilimanjaro
    • Lindi
    • Mbeya
    • Mara
    • Mtwara
    • Mwanza
    • Morogoro
    • Kagera
    • Manyara
    • Katavi
    • Pwani
    • Ruvuma
    • Rukwa
    • Shinyanga
    • Simiyu
    • Songwe
    • Tanga
    • Tabora
    • Njombe
    • Singida
  • Miradi na Programu
    • Tanzania Strategic Cities Project
    • MradiwaUendelezajiwaJiji la Dar es Salaam (DMDP)
    • Programu ya Miji Endeelevu (ULGSP)
    • Mradiwa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo (O &OD)
    • v. Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (Decentralized Climate Finance Project)
    • Programmu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo (ASDP)
    • Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3)
    • UNFPA
    • Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Wabunge (MP’s Office)
    • Mradiwa Ukarabati wa Vituo vya kutolea huduma za Afya
    • Primary school Development Plan
    • Secondary school Development Plan
    • Programu ya Usambazaji Maji Vijijini
    • Programu ya kuzisaidia Serikali za Mitaa
    • Mpango wa Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa
    • Mradi waujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu za Serikali za Mitaa
    • Programu ya Uhamasishaji na Uchambuzi wa Sera
    • Mfuko wa Pamoja wa Afya (Busket Fund)
    • LIC
    • Program (PFMRP)
    • Rural - Urban window
    • Mfumo wa kusajili Wajasiriamali Wadogo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Speech
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Machapisho ya Halmashauri
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Taarifa za Mapato
    • Majarida
    • Fomu Mbali mbali
    • Presentations
  • Miongozo
    • Miongozo OR TAMISEMI
    • Miongozo ya mradi wa SEQUIP
  • Vijiji na Miji
  • Nyaraka
    • Nyaraka za Elimu
    • Nyaraka za Afya
    • Fomu
    • SIS Mobile App

AGIZO: Halmashauri 31 Zihamishe Ofisi zao Kwenda Maeneo yao ya Utawala

Imewekwa tar.: October 7th, 2019

Serikali imeziagiza Halmashauri 31 ambazo ofisi zao zipo nje ya maeneo yao ya utawala kuhamisha ofisi kwenda kwenye maeneo yao ya utawala ndani ya siku 30 kuanzia tarehe 07 Oktoba, 2019.

Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo wakati akiongea na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Sumbawanga na wanahabari mjini Sumbawanga baada ya kupokea maelekezo ya Waziri Mwenye Dhamana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye alibaini kuwa halmashauri nyingi hazifanyi kazi katika maeneo yao ya utawala na hivyo kupelekea utoaji wa huduma za kusua sua kwa wananchi na kurudisha nyuma maendeleo na mipango ya Serikali.

Waziri Jafo amezitaja halmashauri hizo kuwa ni pamoja na Halmashauri ya Wilaya Arusha, Halmashauri ya Wilaya Kondoa, Halmashauri ya Wilaya Geita, Halmashauri ya Wilaya Iringa, Halmashauri ya Wilaya Mufindi, Halmashauri ya Wilaya Bukoba, Halmashauri ya Wilaya Mpanda, Halmashauri ya Wilaya kasulu, Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Halmashauri ya Wilaya Moshi, Halmashauri ya Wilaya Lindi, Halmashauri ya Wilaya Babati, Halmashauri ya Wilaya Mbulu, Halmashauri ya Wilaya Musoma, Halmashauri ya Wilaya Bunda na Halmashauri ya Wilaya Tarime.

Halmashauri nyingine ni pamoja na Halmashauri ya Wilaya Mbeya, Halmashauri ya Wilaya Kilombero, Halmashauri ya Wilaya Mtwara, Halmashauri ya Wilaya Masasi, Halmashauri ya Wilaya Newala, Halmashauri ya Wilaya Njombe, Halmashauri ya Wilaya Kibaha, Halmashauri ya Wilaya Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya Mbinga, Halmashauri ya Wilaya Shinyanga, Halmashauri ya Wilaya Bariadi, Halmashauri ya Wilaya Singida, Halmashauri ya Wilaya Nzega, Halmashauri ya Wilaya Korogwe na Halmashauri ya Wilaya Handeni.

Awali Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli alitoa mwezi mmoja kwa watendaji wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kuhamia kwenye Mji mdogo wa Laela  ambao umejenga makao yake makuu katika Manispaa ya Sumbawanga wakati lengo la kuanzisha Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga lilikuwa ni kusogeza huduma kwa wananchi lakini mpaka sasa hawajahamisha ofisi zao kwenda katika eneo lao la utawala ambalo ni Mji mdogo wa Laela

Mhe. Magufuli alisema Mkurugenzi wa Halmashauri anatembea kilomita takribani 95 kwenda na kurudi ili awahudumie wananchi wakati kama angekuwepo karibu na wananchi adha zote wanazopata wananchi huduma kufuata huduma zisingekuwepo.

         Anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • Taarifa ya robo ya pili ya mapato ya Halmashauri, iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI January 21, 2021
  • Orodha ya majina ya matokeo ya kidato cha nne,cha pili na darasa la nne January 18, 2021
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza Mwaka 2021 December 18, 2020
  • Michoro ya jengo la Ofisi za Halmashauri za Wilaya May 07, 2020
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOPANGWA KWENYE VITUO VYA KAZI NOVEMBA 2020 November 27, 2020
  • Orodha ya Vituo vya Afya na Zahanati vilivyo karabatiwa February 27, 2020
  • Angalia zote

Taarifa Mpya

  • Kafanyeni Tohara kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi

    March 04, 2021
  • Uhaba wa Saruji wachelewesha ujenzi wa barabara za Mji wa Serikali

    March 03, 2021
  • Natoa siku siku 12 mtatue kero za soko la Ndugai na Stendi kuu ya Mabasi- Waziri Jafo

    March 03, 2021
  • Agizo la ujenzi wa vyumba vya madarasa 2257 latekelezwa

    March 02, 2021
  • Angalia zote

Video

Tathmini Matokeo darasa la saba 2020
video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Miongozo ya OR TAMISEMI
  • Majarida Yetu
  • Wazo la Waziri
  • Maktaba ya picha
  • Fomu mbalimbali
  • Historia ya taasisi
  • Taarifa kwa Umma
  • Maktaba ya picha
  • TSCP kwa Undani
  • Uendelezaji Jiji la DSM DMDP
  • Uboreshaji wa Miji
  • Decentralised Climate Finance Project
  • O&OD Report
  • CAG Report
  • Habari mpya
  • Mfumo wa Kusajili Wajasiriamali Wadogo

Tovuti Muhimu

  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Health System Strengthening Resource Center (HSSRC)
  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Wizara ya Afya
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tume ya Ajira Tanzania
  • Wizara ya Elimu

Waliotembelea kijiografia

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

    S.L.P: 1923 Dodoma - Tanzania, Afrika Mashariki

    Simu: + 255 (26) 232 1 234

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ps@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Waliotembelea

Imeanza Kuhesabu kuanzia Tar.27. Julai 2015
click here

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2018 Tamisemi. All rights reserved.